Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:21, 22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Lakini unapaswa kuchagua kati ya watu, wanaume wenye uwezo,+ wenye kumuogopa Mungu, wanaume wenye kutumainika wenye kuchukia faida yenye haiko ya haki,+ na uwaweke juu ya watu ili wakuwe wakubwa wa maelfu, wakubwa wa mamia, wakubwa wa makumi tano, na wakubwa wa makumi.+ 22 Watahukumu watu wakati kesi za hukumu zinatokea,* na watakuletea kila kesi ya hukumu yenye kuwa ngumu,+ lakini wataamua kila kesi ya hukumu ya kidogo. Fanya mambo yakuwe mepesi kwako kwa kufanya wabebe muzigo huo pamoja na wewe.+

  • Zaburi 82:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 “Mimi nimesema, ‘Ninyi ni miungu,*+

      Ninyi wote muko wana wa Mwenye Kuwa Juu Zaidi.

  • Yohana 10:34, 35
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 34 Yesu akawajibu: “Je, haiandikwe katika Sheria yenu, ‘Mimi nilisema: “Ninyi ni miungu”’?*+ 35 Kama aliita ‘miungu’+ wale wenye neno la Mungu lilihukumu—lakini andiko haliwezi kubadilishwa—

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine