Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 “‘Haupaswe kuhukumu kwa njia yenye haiko ya haki. Haupaswe kubagua maskini ao kuonyesha upendeleo kwa matajiri.+ Unapaswa kumuhukumu mwenzako kwa haki.

  • Muhubiri 5:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Kama unaona maskini wanakandamizwa kwa njia yoyote na haki inavunjwa na uadilifu* havifuatwe katika wilaya yako, jambo hilo lisikushangaze.+ Kwa maana ofisa mukubwa iko* anaangaliwa na ule mwenye kuwa juu zaidi kuliko yeye, na kuko wengine wenye wako tena juu kuliko wao.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine