Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 1:16, 17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 “Wakati huo niliwaagiza waamuzi wenu, ‘Wakati munasikia kesi ya hukumu kati ya ndugu zenu, munapaswa kuhukumu kwa haki+ kati ya mutu na ndugu yake ao mukaaji mugeni.+ 17 Hamupaswe kuhukumu kwa upendeleo.+ Munapaswa kusikia mudogo kama vile munasikia mukubwa.+ Musiogopeshwe na wanadamu,+ kwa sababu hukumu ni ya Mungu;+ na kama kesi ya hukumu iko nguvu sana kwenu, muilete kwangu, na nitaisikia.’+

  • 2 Mambo ya Nyakati 19:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Sasa woga wa Yehova ukuwe juu yenu.+ Mukuwe waangalifu juu ya mambo yenye munatenda, kwa maana kwa Yehova Mungu wetu hakuna ukosefu wa haki,+ hakuna ubaguzi,+ hakuna kupokea rushwa.”*+

  • Mezali 18:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  5 Haiko muzuri kuonyesha muovu upendeleo+

      Wala kuima muadilifu haki.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine