-
Kumbukumbu la Torati 1:16, 17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 “Wakati huo niliwaagiza waamuzi wenu, ‘Wakati munasikia kesi ya hukumu kati ya ndugu zenu, munapaswa kuhukumu kwa haki+ kati ya mutu na ndugu yake ao mukaaji mugeni.+ 17 Hamupaswe kuhukumu kwa upendeleo.+ Munapaswa kusikia mudogo kama vile munasikia mukubwa.+ Musiogopeshwe na wanadamu,+ kwa sababu hukumu ni ya Mungu;+ na kama kesi ya hukumu iko nguvu sana kwenu, muilete kwangu, na nitaisikia.’+
-