5 Na ule mwanamuke akamuzaa mwana,+ mwanaume, mwenye atachunga mataifa yote kwa fimbo ya chuma.+ Na mutoto wake akanyakuliwa* mupaka kwa Mungu na kwenye kiti chake cha ufalme.
15 Na kutoka katika kinywa chake upanga murefu mukali unachomoka,+ wenye utatumiwa kupiga mataifa, na atawachunga kwa fimbo ya chuma.+ Zaidi ya hayo, anakanyanga kikamulio cha divai cha hasira ya kasirani kali ya Mungu Mweza-Yote.+