Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:36-38
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 36 Kwa hiyo mabinti wote wawili wa Loti wakakuwa na mimba ya baba yao. 37 Ule muzaliwa wa kwanza akamuzaa mwana, akamupatia jina Moabu.+ Yeye ndiye baba ya Wamoabu wa leo.+ 38 Ule mudogo pia akamuzaa mwana, akamupatia jina Ben-ami. Yeye ndiye baba ya Waamoni+ wa leo.

  • Kumbukumbu la Torati 2:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Halafu Yehova akaniambia, ‘Usijiingize katika uadui wala kupigana vita na Moabu, kwa sababu sitakupatia sehemu yoyote ya inchi yao kuwa eneo lako kwa sababu nimepatia wazao wa Loti inchi ya Ari kuwa eneo lao.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine