2 Basi Yehova akawauzisha katika mukono wa Yabini mufalme wa Kanaani,+ mwenye alitawala katika Hasori. Mukubwa wa jeshi lake alikuwa Sisera, na aliishi Harosheti+ ya mataifa.*
7 Nitaleta kwako Sisera, mukubwa wa jeshi la Yabini, pamoja na magari yake ya vita na majeshi yake kwenye muto mudogo wa* Kishoni,+ na nitamutia katika mikono yako.’”+
15 Kisha Yehova akavuruga Sisera na magari yake yote ya vita na jeshi lake lote+ na kuwaharibu kwa upanga wa Baraka. Mwishowe, Sisera akashuka kutoka katika gari lake na kukimbia kwa miguu.