Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 4:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Basi Yehova akawauzisha katika mukono wa Yabini mufalme wa Kanaani,+ mwenye alitawala katika Hasori. Mukubwa wa jeshi lake alikuwa Sisera, na aliishi Harosheti+ ya mataifa.*

  • Waamuzi 4:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Nitaleta kwako Sisera, mukubwa wa jeshi la Yabini, pamoja na magari yake ya vita na majeshi yake kwenye muto mudogo wa* Kishoni,+ na nitamutia katika mikono yako.’”+

  • Waamuzi 4:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Kisha Yehova akavuruga Sisera na magari yake yote ya vita na jeshi lake lote+ na kuwaharibu kwa upanga wa Baraka. Mwishowe, Sisera akashuka kutoka katika gari lake na kukimbia kwa miguu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine