3 Tuma mwangaza wako na kweli yako.+
Navyo viniongoze;+
Viniongoze kwenye mulima wako mutakatifu na kwenye tabenakulo yako kubwa.+
4 Kisha nitakuja kwenye mazabahu ya Mungu,+
Kwa Mungu, shangwe yangu nyingi sana.
Na nitakusifu kwa kinubi,+ Ee Mungu, Mungu wangu.