Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezra 2:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Na hawa ndio watu wa jimbo* wenye walipanda kutoka kati ya watu wenye walikamatwa mateka wenye walipelekwa katika uhamisho,+ wenye Mufalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amepeleka katika uhamisho kule Babiloni+ na wenye kisha wakati fulani walirudia Yerusalemu na Yuda, kila mutu katika muji wake mwenyewe,+

  • Yeremia 30:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Yehova anasema hivi:

      “Angalia, ninakusanya watu wenye walikamatwa mateka wa mahema ya Yakobo,+

      Na nitasikilia tabenakulo zake huruma.

      Muji utajengwa upya juu ya kilima chake,+

      Na munara wenye ngome utasimama mahali pake penye kufaa.

  • Ezekieli 39:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 “Kwa hiyo, Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: ‘Nitarudisha watu wa Yakobo wenye walikamatwa mateka+ na kuonyesha rehema nyumba yote ya Israeli;+ na nitatetea kwa bidii* jina langu takatifu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine