Mambo ya Walawi 26:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 nitawapatia matone ya mvua kwa wakati wake wenye kufaa,+ na inchi itatoa mazao yake,+ na miti ya mashamba itatoa matunda yake. Zaburi 67:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Dunia itatoa mazao yake;+Mungu, Mungu wetu, atatubariki.+ Isaya 25:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Katika mulima huu+ Yehova wa majeshi atafanyia vikundi vyote vya watu,Karamu ya vyakula vya muzuri sana,+Karamu ya divai ya muzuri,*Ya vyakula vya muzuri sana vyenye kujazwa mafuta ya ndani ya mifupa,Ya divai ya muzuri yenye kuchujwa. Isaya 30:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Na ataleta mvua kwa ajili ya mbegu zenye utapanda katika udongo,+ na mukate wenye udongo utatokeza utakuwa mwingi na wenye kujenga mwili.*+ Siku hiyo mifugo yako itakula majani katika malisho yenye nafasi kubwa.+
4 nitawapatia matone ya mvua kwa wakati wake wenye kufaa,+ na inchi itatoa mazao yake,+ na miti ya mashamba itatoa matunda yake.
6 Katika mulima huu+ Yehova wa majeshi atafanyia vikundi vyote vya watu,Karamu ya vyakula vya muzuri sana,+Karamu ya divai ya muzuri,*Ya vyakula vya muzuri sana vyenye kujazwa mafuta ya ndani ya mifupa,Ya divai ya muzuri yenye kuchujwa.
23 Na ataleta mvua kwa ajili ya mbegu zenye utapanda katika udongo,+ na mukate wenye udongo utatokeza utakuwa mwingi na wenye kujenga mwili.*+ Siku hiyo mifugo yako itakula majani katika malisho yenye nafasi kubwa.+