44 “Katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni atasimamisha ufalme+ wenye hautaharibiwa hata siku moja.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utaponda na kumaliza falme hizi zote,+ na ufalme huo peke yake utasimama milele,+
26 Na ule mwenye atashinda na kushika matendo yangu mupaka mwisho, nitamupatia mamlaka juu ya mataifa,+27 na atachunga watu kwa fimbo ya chuma+ na hivyo watavunjwa vipande-vipande kama vyombo vya udongo, kama vile nimepokea kutoka kwa Baba yangu.