Zaburi 55:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Mangaribi na asubui na katikati ya muchana, ninahangaika na kulia kwa maumivu,*+Na anasikia sauti yangu.+ Zaburi 119:147 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 147 Nimeamuka mbele ya mapambazuko* ili nililie musaada,+Kwa maana maneno yako ni tumaini langu.*
17 Mangaribi na asubui na katikati ya muchana, ninahangaika na kulia kwa maumivu,*+Na anasikia sauti yangu.+