Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 16:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Kwa maana macho ya Yehova yanaenda huku na huku katika dunia yote+ ili kuonyesha nguvu zake* kwa ajili ya wale wenye moyo wao ni kamili* kumuelekea yeye.+ Umetenda kwa upumbavu katika jambo hili; kuanzia sasa kutakuwa vita juu yako.”+

  • Zaburi 33:13-15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Yehova anaangalia chini akiwa mbinguni;

      Anaona wana wote wa binadamu.+

      14 Akiwa katika makao yake,

      Anakazia macho wakaaji wa dunia.

      15 Yeye ndiye anaumba mioyo ya wote;

      Anachunguza kazi zao zote.+

  • Waebrania 11:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Zaidi ya hayo, bila imani haiwezekane kumupendeza Mungu, kwa maana mutu yeyote mwenye anamukaribia Mungu lazima aamini kwamba yeye iko* na kwamba yeye anakuwa mwenye kuwapatia zawabu wale wenye wanamutafuta kwa bidii.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine