9 Kwa maana macho ya Yehova yanaenda huku na huku katika dunia yote+ ili kuonyesha nguvu zake* kwa ajili ya wale wenye moyo wao ni kamili* kumuelekea yeye.+ Umetenda kwa upumbavu katika jambo hili; kuanzia sasa kutakuwa vita juu yako.”+
6 Zaidi ya hayo, bila imani haiwezekane kumupendeza Mungu, kwa maana mutu yeyote mwenye anamukaribia Mungu lazima aamini kwamba yeye iko* na kwamba yeye anakuwa mwenye kuwapatia zawabu wale wenye wanamutafuta kwa bidii.+