1 Timoteo 6:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 kwenye ule mwenye furaha na yeye pekee ambaye ni Bwana Mwenye Uwezo ataonyesha katika wakati wake wenye uliwekwa. Yeye ndiye Mufalme wa wale wenye kutawala wakiwa wafalme na Bwana wa wale wenye kutawala wakiwa mabwana,+ Ufunuo 1:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 na kutoka kwa Yesu Kristo, “Shahidi Muaminifu,”+ “muzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,”+ na “Mutawala wa wafalme wa dunia.”+ Kwake yeye mwenye anatupenda+ na mwenye alituweka huru kutoka katika zambi zetu kupitia damu yake mwenyewe+— Ufunuo 19:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Na kwenye nguo yake ya inje, ndiyo, kwenye paja lake, iko* na jina lenye limeandikwa, Mufalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+
15 kwenye ule mwenye furaha na yeye pekee ambaye ni Bwana Mwenye Uwezo ataonyesha katika wakati wake wenye uliwekwa. Yeye ndiye Mufalme wa wale wenye kutawala wakiwa wafalme na Bwana wa wale wenye kutawala wakiwa mabwana,+
5 na kutoka kwa Yesu Kristo, “Shahidi Muaminifu,”+ “muzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,”+ na “Mutawala wa wafalme wa dunia.”+ Kwake yeye mwenye anatupenda+ na mwenye alituweka huru kutoka katika zambi zetu kupitia damu yake mwenyewe+—
16 Na kwenye nguo yake ya inje, ndiyo, kwenye paja lake, iko* na jina lenye limeandikwa, Mufalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+