Zaburi 103:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Kuhusu mwanadamu mwenye anaweza kufa, siku zake ziko kama za majani;+Anachanuka kama ua la shamba.+ 1 Petro 1:24 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 24 Kwa maana “miili yote* ni kama majani, na utukufu wake wote ni kama ua la shamba; majani yanakauka, na ua linaanguka,
15 Kuhusu mwanadamu mwenye anaweza kufa, siku zake ziko kama za majani;+Anachanuka kama ua la shamba.+
24 Kwa maana “miili yote* ni kama majani, na utukufu wake wote ni kama ua la shamba; majani yanakauka, na ua linaanguka,