Kumbukumbu la Torati 32:36 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 36 Kwa maana Yehova atahukumu watu wake,+Na atasikilia huruma* watumishi wake+Wakati ataona kwamba nguvu zao zimeisha,Na kwamba wenye hawana uwezo na wenye kuwa wazaifu tu ndio wamebakia. Zaburi 135:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Kwa maana Yehova atatetea* watu wake,+Na atasikilia huruma* watumishi wake.+
36 Kwa maana Yehova atahukumu watu wake,+Na atasikilia huruma* watumishi wake+Wakati ataona kwamba nguvu zao zimeisha,Na kwamba wenye hawana uwezo na wenye kuwa wazaifu tu ndio wamebakia.