Zaburi 19:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ inarudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ kinamufanya mwenye hana uzoefu akuwe na hekima.+ Zaburi 119:111 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 111 Ninakamata vikumbusho vyako kuwa mali yangu ya kudumu,*Kwa maana hivyo ni shangwe ya moyo wangu.+
7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ inarudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ kinamufanya mwenye hana uzoefu akuwe na hekima.+
111 Ninakamata vikumbusho vyako kuwa mali yangu ya kudumu,*Kwa maana hivyo ni shangwe ya moyo wangu.+