Waamuzi 5:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Milima ikayeyuka* mbele ya uso wa Yehova,+Hata Sinai mbele ya uso wa Yehova,+ Mungu wa Israeli.+ Nahumu 1:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Milima inatetemeka kwa sababu yake,Na vilima vinayeyuka.+ Dunia itainuka kwa sababu ya uso wake,Pamoja na inchi na wale wote wenye kukaa ndani yake.+ Habakuki 3:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Alisimama wima na kutikisa dunia.+ Aliangalia, na jambo hilo lilifanya mataifa yaruke.+ Milima ya milele ilivunjwa-vunjwa,Na vilima vya zamani viliinama.+ Njia zake ni za tangu zamani sana.
5 Milima inatetemeka kwa sababu yake,Na vilima vinayeyuka.+ Dunia itainuka kwa sababu ya uso wake,Pamoja na inchi na wale wote wenye kukaa ndani yake.+
6 Alisimama wima na kutikisa dunia.+ Aliangalia, na jambo hilo lilifanya mataifa yaruke.+ Milima ya milele ilivunjwa-vunjwa,Na vilima vya zamani viliinama.+ Njia zake ni za tangu zamani sana.