Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 112:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  4 Anaangazia watu wanyoofu kama mwangaza katika giza.+

      ח [Heth]

      Ni mwenye huruma,* mwenye rehema+ na mwenye haki.

  • Mezali 4:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Lakini njia ya wenye haki iko kama mwangaza wenye kungaa wa asubui

      Wenye kungaa zaidi na zaidi mupaka muchana kamili.+

  • Isaya 30:26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Na mwangaza wa mwezi wenye kuenea utakuwa kama mwangaza wa jua; na mwangaza wa jua utaongezeka mara saba (7),+ kama mwangaza wa siku saba, katika siku yenye Yehova atafunga kuvunjika kwa watu wake+ na kuponyesha kidonda kikubwa chenye kilitokana na pigo lenye alileta.+

  • Mika 7:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Nitavumilia kasirani kali ya Yehova

      —Kwa maana nimemutendea zambi+—

      Mupaka wakati atatetea kesi yangu ya hukumu na kufanya nitendewe haki.

      Atanileta inje kwenye mwangaza;

      Nitaangalia uadilifu* wake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine