26 Na mwangaza wa mwezi wenye kuenea utakuwa kama mwangaza wa jua; na mwangaza wa jua utaongezeka mara saba (7),+ kama mwangaza wa siku saba, katika siku yenye Yehova atafunga kuvunjika kwa watu wake+ na kuponyesha kidonda kikubwa chenye kilitokana na pigo lenye alileta.+