Zaburi 8:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu sana katika dunia yote;Umetia utukufu wako juu zaidi hata kuliko mbingu!*+ Zaburi 148:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Wasifu jina la Yehova,Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana haliwezi kufikiwa.+ Ukubwa wake uko juu ya dunia na mbingu.+ Ufunuo 15:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Ni nani mwenye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kutukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mushikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele yako,+ kwa sababu amri zako za haki zimefunuliwa.”
8 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu sana katika dunia yote;Umetia utukufu wako juu zaidi hata kuliko mbingu!*+
13 Wasifu jina la Yehova,Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana haliwezi kufikiwa.+ Ukubwa wake uko juu ya dunia na mbingu.+
4 Ni nani mwenye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kutukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mushikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele yako,+ kwa sababu amri zako za haki zimefunuliwa.”