-
Kutoka 15:24, 25Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
24 Kwa hiyo watu wakaanza kumunungunikia Musa,+ kwa kusema: “Tutakunywa nini?” 25 Musa akamulilia Yehova,+ na Yehova akamuongoza kwenye muti fulani. Wakati alitupa muti huo ndani ya maji hayo, maji hayo yakakuwa matamu.
Pale Mungu akawawekea sharti na musingi wa hukumu, na pale akawatia katika jaribu.+
-
-
1 Samweli 15:10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
10 Basi neno la Yehova likakuja kwa Samweli:
-