-
Kutoka 34:6, 7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ hakasirike haraka+ na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu*+ na kweli,*+ 7 mwenye kuonyesha upendo mushikamanifu kwa maelfu,+ mwenye kusamehe kosa na uovu na zambi,+ lakini hatakosa hata kidogo kupatia azabu wenye kosa,+ mwenye kuleta azabu juu ya wana na wajukuu kwa sababu ya kosa la baba zao, juu ya kizazi cha tatu (3) na juu ya kizazi cha ine (4).”+
-