Kutoka 2:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Kisha wakati murefu, mufalme wa Misri akakufa,+ lakini Waisraeli wakaendelea kulia kwa maumivu kwa sababu ya utumwa na kutoa sauti za malalamiko, na kilio chao cha kuomba musaada kikaendelea kupanda mupaka kwa Mungu wa kweli.+
23 Kisha wakati murefu, mufalme wa Misri akakufa,+ lakini Waisraeli wakaendelea kulia kwa maumivu kwa sababu ya utumwa na kutoa sauti za malalamiko, na kilio chao cha kuomba musaada kikaendelea kupanda mupaka kwa Mungu wa kweli.+