-
Danieli 9:20, 21Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Wakati nilikuwa ningali ninasema na kusali na kuungama zambi yangu na zambi ya watu wangu Israeli na kutoa ombi langu la kuomba rehema mbele ya Yehova Mungu wangu kwa ajili ya mulima mutakatifu wa Mungu wangu,+ 21 ndiyo, wakati nilikuwa ningali ninasema katika sala, ule mwanaume Gabrieli,+ mwenye niliona pale mwanzo katika maono,+ alikuja kwangu wakati nilikuwa nimechoka sana karibu na wakati wa toleo la zawadi la mangaribi.
-