61 Roho ya Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova iko juu yangu,+
Kwa sababu Yehova alinitia mafuta ili nitangazie wapole habari njema.+
Alinituma ili nifunge vidonda vya wenye kuvunjika moyo,
Ili nitangaze uhuru kwa wale wenye walikamatwa mateka
Na kufunguliwa kabisa kwa macho ya wafungwa,+