13 Unionyeshe wema, Ee Yehova; angalia namna wale wenye kunichukia wananitesa,
Wewe mwenye kuniinua kutoka katika milango mikubwa ya kifo,+
14 Ili nitangaze katika milango mikubwa ya binti ya Sayuni+ matendo yako yenye kustahili sifa,
Na kushangilia katika matendo yako ya wokovu.+