Yobu 36:26 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 26 Ndiyo, Mungu ni mukubwa kuliko namna tunaweza kujua;+Hatuwezi hata kidogo kuelewa* hesabu ya miaka yake.+ Malaki 3:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 “Kwa maana mimi ni Yehova; sibadilike.*+ Na ninyi muko wana wa Yakobo; hamujafikia mwisho. Yakobo 1:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Kila zawadi ya muzuri na kila zawadi kamilifu inatoka juu,+ inashuka kutoka kwa Baba wa miangaza ya mbinguni,+ mwenye habadilike ao kugeuka kama kivuli chenye kugeuka-geuka.*+
26 Ndiyo, Mungu ni mukubwa kuliko namna tunaweza kujua;+Hatuwezi hata kidogo kuelewa* hesabu ya miaka yake.+
17 Kila zawadi ya muzuri na kila zawadi kamilifu inatoka juu,+ inashuka kutoka kwa Baba wa miangaza ya mbinguni,+ mwenye habadilike ao kugeuka kama kivuli chenye kugeuka-geuka.*+