Kutoka 19:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Mulima Sinai ulitoa moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa unapanda kama moshi wa tanuru, na mulima wote ulitetemeka kwa nguvu.+
18 Mulima Sinai ulitoa moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa unapanda kama moshi wa tanuru, na mulima wote ulitetemeka kwa nguvu.+