-
Kumbukumbu la Torati 7:18, 19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 haupaswe kuyaogopa.+ Unapaswa kujikumbusha mambo yenye Yehova Mungu wako alimutendea Farao na Misri yote,+ 19 zile hukumu kubwa zenye* macho yako yaliona na zile alama na miujiza+ na mukono wenye nguvu na mukono wenye kunyooshwa wenye Yehova Mungu wako alikutosha nao.+ Ni vile Yehova Mungu wako atatendea vikundi vyote vya watu vyenye unaogopa.+
-