14 Yehova akamuambia Abramu, kisha Loti kutengana naye: “Tafazali, inua macho yako na uangalie ukiwa mahali kwenye uko, kuelekea upande wa kaskazini na wa kusini, na wa mashariki na wa mangaribi, 15 kwa sababu inchi yote yenye unaona, nitakupatia wewe na uzao wako ikuwe uriti wa kudumu.+