Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Kisha Yehova akamutokea Abramu na kumuambia: “Nitapatia uzao+ wako* inchi hii.”+ Kwa hiyo Abramu akajenga mazabahu pale kwa ajili ya Yehova, mwenye alikuwa amemutokea.

  • Mwanzo 13:14, 15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Yehova akamuambia Abramu, kisha Loti kutengana naye: “Tafazali, inua macho yako na uangalie ukiwa mahali kwenye uko, kuelekea upande wa kaskazini na wa kusini, na wa mashariki na wa mangaribi, 15 kwa sababu inchi yote yenye unaona, nitakupatia wewe na uzao wako* ikuwe uriti wa kudumu.+

  • Mwanzo 15:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Siku hiyo Yehova akafanya agano pamoja na Abramu,+ na kusema: “Nitapatia uzao wako* inchi hii,+ kutoka muto wa Misri mupaka ule muto mukubwa, muto Efrati:+

  • Mwanzo 26:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Kaa kama mugeni katika inchi hii,+ na mimi nitaendelea kuwa pamoja na wewe na kukubariki kwa sababu nitakupatia wewe na uzao wako* inchi hizi zote,+ na nitatimiza kiapo hiki chenye nilimuapia Abrahamu baba yako:+

  • Mwanzo 28:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Na angalia! Yehova alikuwa anasimama juu ya ngazi hiyo,* na alisema:

      “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nitakupatia wewe na uzao wako* inchi yenye unalala juu yake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine