30 Basi Yakobo akaambia Simeoni na Lawi:+ “Mumeniletea shida kubwa na kunifanya ninuke mubaya mbele ya wakaaji wa inchi hii, kwa Wakanaani na Waperizi. Mimi sina watu wengi, na hakika watakusanyika pamoja ili kunishambulia na nitaharibiwa, mimi na nyumba yangu.”