-
Kutoka 7:20, 21Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Mara moja Musa na Haruni wakafanya kama vile Yehova alikuwa ameamuru. Haruni akainua fimbo na kupiga maji ya Muto Nile mbele ya Farao na watumishi wake, na maji yote yenye yalikuwa katika muto yakageuka kuwa damu.+ 21 Na samaki wenye walikuwa katika muto wakakufa,+ na muto ukaanza kunuka, na Wamisri hawakuweza kunywa maji ya Muto Nile,+ na damu ilikuwa katika inchi yote ya Misri.
-