Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:34
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 34 Mumushukuru Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+

      Upendo wake mushikamanifu unadumu milele.+

  • Ezra 3:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Na wakaanza kuimba kwa kuitikiana+ wakimusifu na kumushukuru Yehova “kwa kuwa yeye ni mwema; upendo wake mushikamanifu kwa Israeli unadumu milele.”+ Kisha watu wote wakamusifu Yehova kwa sauti kubwa kwa sababu musingi wa nyumba ya Yehova ulikuwa umewekwa.

  • Zaburi 103:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Lakini upendo mushikamanifu wa Yehova ni wa umilele wote*

      Kuelekea wale wenye kumuogopa,+

      Na haki yake kuelekea watoto wa watoto wao,+

  • Zaburi 107:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 107 Mumushukuru Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+

      Upendo wake mushikamanifu unadumu milele.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine