11 Na wakaanza kuimba kwa kuitikiana+ wakimusifu na kumushukuru Yehova “kwa kuwa yeye ni mwema; upendo wake mushikamanifu kwa Israeli unadumu milele.”+ Kisha watu wote wakamusifu Yehova kwa sauti kubwa kwa sababu musingi wa nyumba ya Yehova ulikuwa umewekwa.