Zaburi 15:1, 2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Ee Yehova, ni nani anaweza kuwa mugeni katika hema yako? Ni nani anaweza kukaa katika mulima wako mutakatifu?+ 2 Ule mwenye anatembea bila kosa,*+Mwenye anazoea kufanya mambo yenye kuwa sawa+Na kusema kweli katika moyo wake.+ Isaya 64:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Umekutana na wale wenye wanafurahia kutenda mambo yenye kuwa sawa,+Wale wenye wanakukumbuka na kufuata njia zako. Angalia! Ulikuwa na kasirani kali, wakati huo sisi tuliendelea kutenda zambi,+Tulifanya vile kwa wakati murefu. Je, sasa tuokolewe?
15 Ee Yehova, ni nani anaweza kuwa mugeni katika hema yako? Ni nani anaweza kukaa katika mulima wako mutakatifu?+ 2 Ule mwenye anatembea bila kosa,*+Mwenye anazoea kufanya mambo yenye kuwa sawa+Na kusema kweli katika moyo wake.+
5 Umekutana na wale wenye wanafurahia kutenda mambo yenye kuwa sawa,+Wale wenye wanakukumbuka na kufuata njia zako. Angalia! Ulikuwa na kasirani kali, wakati huo sisi tuliendelea kutenda zambi,+Tulifanya vile kwa wakati murefu. Je, sasa tuokolewe?