-
Kutoka 14:21, 22Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
21 Sasa Musa akanyoosha mukono wake juu ya bahari;+ na Yehova akasukuma bahari nyuma usiku wote kwa upepo wenye nguvu wa mashariki, akageuza bonde la bahari kuwa inchi kavu,+ na maji yakagawanyika.+ 22 Kwa hiyo Waisraeli wakapita katikati ya bahari juu ya inchi kavu,+ na maji yalifanyiza ukuta kwenye upande wao wa kuume na kwenye upande wao wa kushoto.+
-