Isaya 49:26 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 26 Nitafanya wale wenye kukutesa wakule nyama yao wenyewe,Na watalewa damu yao wenyewe kama vile divai tamu. Na watu wote watajua* kwamba mimi ni Yehova,+Mwokozi wako+ na Mukombozi wako,+Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+
26 Nitafanya wale wenye kukutesa wakule nyama yao wenyewe,Na watalewa damu yao wenyewe kama vile divai tamu. Na watu wote watajua* kwamba mimi ni Yehova,+Mwokozi wako+ na Mukombozi wako,+Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+