34 Ao je, Mungu amekwisha kujaribu kujichukulia taifa katikati ya taifa lingine kwa hukumu, kwa alama, kwa miujiza,+ kwa vita,+ kwa mukono wenye nguvu,+ kwa mukono wenye kunyooshwa, na kwa matendo ya kuogopesha sana,+ kama vile Yehova Mungu wenu aliwafanyia kule Misri mbele ya macho yenu wenyewe?