Kutoka 14:25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 25 Akaendelea kuondoa magurudumu* kwenye magari yao na kwa hiyo walikuwa wanayaendesha kwa shida, na Wamisri wakasema: “Tukimbie ili tusikaribie hata kidogo Israeli, kwa sababu Yehova anapigana na Wamisri kwa ajili ya Israeli.”+
25 Akaendelea kuondoa magurudumu* kwenye magari yao na kwa hiyo walikuwa wanayaendesha kwa shida, na Wamisri wakasema: “Tukimbie ili tusikaribie hata kidogo Israeli, kwa sababu Yehova anapigana na Wamisri kwa ajili ya Israeli.”+