28 Uwaambie, ‘“Kama vile hakika ninaishi,” ni vile Yehova anasema, “nitawatendea mambo yaleyale yenye nimesikia munasema!+ 29 Maiti zenu zitaanguka katika jangwa hili,+ ndiyo, watu wote katikati yenu kuanzia miaka makumi mbili (20) na zaidi wenye waliandikishwa, ninyi wote wenye mumeninungunikia.+