Hesabu 25:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Watu wenye walikufa katika pigo hilo walikuwa elfu makumi mbili na ine (24 000).+ 1 Wakorinto 10:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Na tusifanye uasherati,* kama vile wamoja kati yao walifanya uasherati,* na elfu makumi mbili na tatu (23 000) kati yao wakaanguka kwa siku moja.+
8 Na tusifanye uasherati,* kama vile wamoja kati yao walifanya uasherati,* na elfu makumi mbili na tatu (23 000) kati yao wakaanguka kwa siku moja.+