-
Hesabu 25:7, 8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Wakati Finehasi+ mwana wa Eleazari mwana wa Haruni kuhani aliona jambo hilo, akasimama mara moja kutoka katikati ya mukusanyiko na kukamata mukuki katika mukono wake. 8 Kisha akamufuata mwanaume huyo wa Israeli mupaka katika hema na akawatoboa wote wawili, mwanaume wa Israeli na mwanamuke huyo kupitia viungo vya uzazi vya mwanamuke huyo. Kwa hiyo pigo lenye lilikuja juu ya Waisraeli likasimamishwa.+
-