-
Hesabu 25:11-13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 “Finehasi+ mwana wa Eleazari mwana wa Haruni kuhani amegeuzia mbali kasirani yangu kali juu ya watu wa Israeli kwa sababu hakuvumilia ushindani wowote kunielekea kati yao.+ Kwa hiyo sikuharibu Waisraeli hata kama ninatia mukazo juu ya kushikamana na mimi tu.+ 12 Kwa hiyo, useme, ‘Ninamupatia agano langu la amani. 13 Na litakuwa agano la ukuhani wa kudumu kwa ajili yake na uzao wake kisha yeye,+ kwa maana hakuvumilia ushindani wowote kumuelekea Mungu wake+ na alifunika zambi kwa ajili ya watu wa Israeli.’”
-