Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 25:11-13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 “Finehasi+ mwana wa Eleazari mwana wa Haruni kuhani amegeuzia mbali kasirani yangu kali juu ya watu wa Israeli kwa sababu hakuvumilia ushindani wowote kunielekea kati yao.+ Kwa hiyo sikuharibu Waisraeli hata kama ninatia mukazo juu ya kushikamana na mimi tu.+ 12 Kwa hiyo, useme, ‘Ninamupatia agano langu la amani. 13 Na litakuwa agano la ukuhani wa kudumu kwa ajili yake na uzao wake kisha yeye,+ kwa maana hakuvumilia ushindani wowote kumuelekea Mungu wake+ na alifunika zambi kwa ajili ya watu wa Israeli.’”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine