-
Waamuzi 10:6-8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Waisraeli wakafanya tena mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova,+ na wakaanza kutumikia Mabaali,+ sanamu za Ashtoreti, miungu ya Aramu,* miungu ya Sidoni, miungu ya Moabu,+ miungu ya Waamoni,+ na miungu ya Wafilisti.+ Wakamuacha Yehova na hawakumutumikia. 7 Basi kasirani ya Yehova ikawaka juu ya Israeli, na akawauzisha katika mikono ya Wafilisti na Waamoni.+ 8 Kwa hiyo wakavunja-vunja na kukandamiza sana Waisraeli katika mwaka huo—kwa miaka kumi na munane (18) walikandamiza Waisraeli wote wenye walikuwa ngambo ya Yordani yenye ilikuwa inchi ya Waamori katika Gileadi.
-