Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 10:6-8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Waisraeli wakafanya tena mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova,+ na wakaanza kutumikia Mabaali,+ sanamu za Ashtoreti, miungu ya Aramu,* miungu ya Sidoni, miungu ya Moabu,+ miungu ya Waamoni,+ na miungu ya Wafilisti.+ Wakamuacha Yehova na hawakumutumikia. 7 Basi kasirani ya Yehova ikawaka juu ya Israeli, na akawauzisha katika mikono ya Wafilisti na Waamoni.+ 8 Kwa hiyo wakavunja-vunja na kukandamiza sana Waisraeli katika mwaka huo⁠—​kwa miaka kumi na munane (18) walikandamiza Waisraeli wote wenye walikuwa ngambo ya Yordani yenye ilikuwa inchi ya Waamori katika Gileadi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine