Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15:2, 3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Absalomu alikuwa anaamuka asubui sana na kusimama pembeni ya barabara yenye inaenda kwenye mulango mukubwa wa muji.+ Kila mara wakati mutu fulani alikuwa na kesi ya hukumu yenye ilipaswa kupelekwa kwa mufalme ili iamuliwe,+ Absalomu alikuwa anamuita na kusema: “Unatoka katika muji gani?” naye alikuwa anasema: “Mutumishi wako anatoka katika kabila moja kati ya makabila ya Israeli.” 3 Absalomu alikuwa anamuambia: “Angalia, malalamiko yako ni ya kweli na ya haki, lakini hakuna mutu kutoka kwa mufalme wa kusikia kesi yako ya hukumu.”

  • Zaburi 31:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Acha midomo yenye kusema uongo ikuwe bubu,+

      Midomo yenye kuongea kwa kiburi juu ya mwenye haki, kwa majivuno na zarau.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine