Kumbukumbu la Torati 15:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Kwa maana maskini atakuwa sikuzote katika inchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, ‘Unapaswa kumufungulia mukono wako kwa ukarimu ndugu yako mwenye kuteseka na maskini katika inchi yako.’+ Mezali 11:24 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 24 Mutu mumoja anatoa kwa ukarimu* na kujikuta na vitu vingi zaidi;+Mwingine anaima wengine kile wanapaswa kupewa, lakini anakuwa maskini.+ Mezali 19:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Mwenye anaonyesha mutu wa hali ya chini wema anamukopesha Yehova,+Na Yeye atamulipa* kwa sababu ya mambo yenye anatenda.+
11 Kwa maana maskini atakuwa sikuzote katika inchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, ‘Unapaswa kumufungulia mukono wako kwa ukarimu ndugu yako mwenye kuteseka na maskini katika inchi yako.’+
24 Mutu mumoja anatoa kwa ukarimu* na kujikuta na vitu vingi zaidi;+Mwingine anaima wengine kile wanapaswa kupewa, lakini anakuwa maskini.+
17 Mwenye anaonyesha mutu wa hali ya chini wema anamukopesha Yehova,+Na Yeye atamulipa* kwa sababu ya mambo yenye anatenda.+