Kutoka 19:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Mulima Sinai ulitoa moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa unapanda kama moshi wa tanuru, na mulima wote ulitetemeka kwa nguvu.+ Waamuzi 5:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Yehova, wakati ulitoka Seiri,+Wakati ulipiga mwendo kutoka eneo la Edomu,Dunia ilitikisika, na mbingu zikamwanga maji,Mawingu pia yakamwanga maji.
18 Mulima Sinai ulitoa moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa unapanda kama moshi wa tanuru, na mulima wote ulitetemeka kwa nguvu.+
4 Yehova, wakati ulitoka Seiri,+Wakati ulipiga mwendo kutoka eneo la Edomu,Dunia ilitikisika, na mbingu zikamwanga maji,Mawingu pia yakamwanga maji.