Zaburi 25:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Njia za Yehova ni upendo mushikamanifu na uaminifuKwa ajili ya wale wenye kushika agano lake+ na vikumbusho vyake.+ Zaburi 91:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Atakufunika kwa manyoya yake,*Na utakimbilia chini ya mabawa yake.+ Uaminifu wake+ utakuwa ngao kubwa+ na ukuta wa ulinzi.*
10 Njia za Yehova ni upendo mushikamanifu na uaminifuKwa ajili ya wale wenye kushika agano lake+ na vikumbusho vyake.+
4 Atakufunika kwa manyoya yake,*Na utakimbilia chini ya mabawa yake.+ Uaminifu wake+ utakuwa ngao kubwa+ na ukuta wa ulinzi.*