Kutoka 15:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,* kwa maana amekuwa wokovu wangu.+ Huyu ndiye Mungu wangu, na nitamusifu;+ Mungu wa baba yangu,+ na nitamutukuza.+ Zaburi 18:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Ule mwenye ananiokoa.+ Mungu wangu ni mwamba wangu,+ mwenye ninakimbilia,Ngao yangu na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama.*+ Isaya 12:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Angalia! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini na sitaogopa sana;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wanguNa amekuwa wokovu wangu.”+
2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,* kwa maana amekuwa wokovu wangu.+ Huyu ndiye Mungu wangu, na nitamusifu;+ Mungu wa baba yangu,+ na nitamutukuza.+
2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Ule mwenye ananiokoa.+ Mungu wangu ni mwamba wangu,+ mwenye ninakimbilia,Ngao yangu na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama.*+
2 Angalia! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini na sitaogopa sana;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wanguNa amekuwa wokovu wangu.”+