-
1 Wakorinto 3:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Kwa maana hakuna mutu mwenye anaweza kuweka musingi mwingine wowote juu ya ule wenye uliwekwa, ambao ni Yesu Kristo.+
-
-
1 Petro 2:4-7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Wakati munakuja kwake, jiwe lenye uzima lenye lilikataliwa na wanadamu+ lakini lenye lilichaguliwa, lenye samani kwa Mungu,+ 5 ninyi wenyewe pia kama majiwe yenye uzima munajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kusudi mukuwe ukuhani mutakatifu, ili kutoa zabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+ 6 Kwa maana Andiko linasema: “Angalia! Ninaweka katika Sayuni jiwe lenye lilichaguliwa, jiwe la musingi la pembe lenye samani, na mutu yeyote mwenye anaonyesha imani katika jiwe hilo hatakata tamaa* hata kidogo.”+
7 Kwa hiyo, yeye ni mwenye samani kwenu, kwa sababu ninyi ni waamini; lakini kwa wale wenye hawaamini, “jiwe lenye wajenzi walikataa+ ndilo limekuwa jiwe kubwa la pembe,”*+
-