Yeremia 49:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Kwa ajili ya Kedari+ na falme za Hasori, zenye Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni alipiga, Yehova anasema hivi: “Musimame, mupande kuenda Kedari,Na muharibu wana wa Mashariki.
28 Kwa ajili ya Kedari+ na falme za Hasori, zenye Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni alipiga, Yehova anasema hivi: “Musimame, mupande kuenda Kedari,Na muharibu wana wa Mashariki.