Zaburi 119:82 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 82 Macho yangu yanatamani sana neno lako,+Wakati ninasema: “Utanifariji wakati gani?”+ Zaburi 130:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Ninamungojea* Yehova kwa hamu,+Kuliko namna walinzi wanangojea asubui,+Ndiyo, kuliko namna walinzi wanangojea asubui.
6 Ninamungojea* Yehova kwa hamu,+Kuliko namna walinzi wanangojea asubui,+Ndiyo, kuliko namna walinzi wanangojea asubui.